Full width home advertisement

Post Page Advertisement [Top]

 Kwa kipindi cha mwezi mmoja na zaidi sasa kwa wakazi wa dar es Salaam wamekuwa wakikumbwa na kadhia ya ongezeko la joto . 

Jambo ambalo lina hatarisha afya za walio wengi 

 ......

Kwa hali ya kawaida ni kwamba joto limezidi ,yawezekana kutokana na uchafuzi wa mazingira na viwamda vya kutoa moshi sana .

Nini maoni yako ? Unadhani ongezeko la joto linatokana na nin? 


Mcj

Bottom Ad [Post Page]